Nimesahau Password ya Account yangu ya kubeti ni fanyeje?

 


Hili ni swali linalowatatiza wengi hasa pale unapotaka kuingia kwenye account yako na kukuta umesahau nyila yako. Kwanza ni muhimu kutengeneza password utakayoikumbuka wakati wa kuhitaji kuingia kwenye account yako

Hata hivyi habari njema ni kwamba unaweza kuipata tena password  yako au kuiweka upya.

Kampuni za kubeti huwa zina huduma ya kuomba kuweka upya kwa password uliyoisahau. Mradi tu uwe unakumbuka  barua pepe uliyotumia kujiunga au mara nyinyingine Id number.

Jinsi ya kufanya

Ingia katika tovuti au app uliyosahau password  kisha bofya Forgotten password  , create new password au unda neno la siri jipya.

Baada ya hapo watakuimba barua pepe au id number, kisha option ya ku create new passwords  itatumwa katika barua pepe yako (e-mail)  baada ya kutumwa watakupa ujumbe kuwa tumekutumia barua pepe ya kuweka upya password  yako. Baada ya hapo ingia katika barua pepe yako , E-mail addrrss angalia inbox au katika spam folder utakuta umetumiwa ujumbe  wenye link, fuata maelekezo ikiwa ni pamoja na ku bofya link hiyo ( NB. Hakikisha barua pepe hiyo imetoka  katika kampuni unayoifahamu) baada ya hapo endelea na mchakato  wa kuweka password  mpya.

Soma pia : Jinsi ya kujisajili Fansport

Vilevile unaweza ku recover password kupitia namba ya simu kulingana na kampuni husika hivyo ni muhimu kusoma code za ku recover au kupata password  mpya zimetumwa kwako kwa njia gani.

Jinsi ya kuhifadhi password  katika kifaa chako.

Baada ya kutengeneza  passwords  mara nyingi kwa vifaa vya adroid vinavyotumia browser ya chrome huwa na option ya kuhifadhi password.  Hata unapokuwa umeisahau unaweza kuikuta katika password  manager ya google.



Post a Comment

Previous Post Next Post