Kujisajili 888 bet Tanzania Muongozo wa kutoa na kuweka pesa

 


888bet Tanzania  nikampuni ya kubeti mtandaoni, inayomilikiwa na Port achia chini ya 888hold Africa. 888bet iliingia nchini tangu mwaka 2022. Ikitoa huduma bora za kubeti mtandaoni pamoja na huduma nyinginezo kama slots na casino za mtandaoni.

888bet imekuwa ikitoa huduna bora kwa wateja wake jambo ambalo limeifanya kuwa miongoni mwa kampuni bora zaidi duniani za kubashiri ikiwa na zaidi ya wateja milion 50 duniani.

Table of contents

1.0 Jinsi ya kujisajili 888bet Tanzania

2.0 Kuweka na Kutoa Pesa 888bet

3.0 jinsi ya kuanza kucheza

4.0 Kucheza aviator  na 888bet

5.0 Hitimisho

Jinsi ya Kujisajili na 888bet Tanzania

Kujiandikisha 888bet ni rahisi kutokana na muundo wa kujiandikisha wa kampuni hiyo. Hapa tutakutajia hatua kwa hatua jinsi ya kujiandikisha kwa urahisi.

1. Tembelea tovuti ya 888bet.tz au tafuta katika google au unaweza kubofya >HAPA> kuingia moja kwa moja katika tovuti ya 888bet Tanzania.

2. Utatakiwa kuingiza namba yako

3. Utatakiwa kutengeneza Nywila

4. Kubali sheria na masharti

5. Bofya jiunge au Join

Baada ya hapo utakuwa tayari umeandikisha account yako mpya ya 888bet  sasa unaweza kufurahia huduma mbalimbali zinazopatikana katika kampuni hii ya kubeti mtandaoni.

Kuweka na kutoa Pesa katika Tovuti ya 888bet 

Kuweka na kutoa pesa katika tovuti na app ya kubeti ya 888bet nimchakato rahisi na waharaka. Unaweza kuweka pesa na kutoa kwa njia hizi

  • Kuweka kwa mpesa
  • Kuweka kwa mix by yass
  • Kuweka kwa airtel money
  • kuweka kwa selcome
  • Kuweka kwa halopesa
Njia hizi hutumika pia wakati wa kutoa pesa.

1.0 : Jinsi ya kuweka pesa,
kuweka pesa ingia katika app ama tovuti , bofya deposit , chagua njia ya kuweka ,weka kiasi kisha bofya deposits  baada ya hapo itatuma notification  jaza taarifa husika kuruhusu muamala kuingia katika  account yako.

1.1 Kutoa Pesa
Baada ya kushinda unaweza kutoa pesa kwa urahisi, bofya withdrawn  au toa pesa. Weka kiasi unachotaka kutoa kisha bofya withdraw kutoa pesa yako. Pesa yako itaingia ndani ya simu yako ndani ya muda mfupi sana.

Jinsi ya Kubeti na 888bet
kuanza kubeti na 888bet nirahisi unatakiwa kuchagua timu husika kulingana na machaguo yaliyopo , kwa kubofya au kugusa matokeo ambayo unadhani yatatokea, mfano wa machaguo ni , timu ushinda, kufungwa au kutoa sare, idadi ya magoli, double chance, over and Under, correct score, n.k 

Jinsi ya kucheza Aviator  888bet
Aviator ni mchezo maarufu wa kurusha kindege na kuchukua ushindi mapema kabla kindege hakijalipuka. Kucheza ni rahisu unatakiwa kuwa na salio katika account yako, gusa kindege, kwenye casino, weka kiasi unachotaka kucheza kuanzia tsh 100 subiri round mpya ianze utaona kiasi chako kikiongezeka na alama zikipanda, wahi kuchukua ushindi cashout kabla kindege hakijalipuka na kuanza round mpya, unaweza kurudia mchezo hivyo ndivyo inavyochezwa, unaweza kuangalia michezo inavyokwenda ili kupata uzoefu.

Hitimisho
Cheza kiwango unachoweza kukimudu ikiwa utapoteza. 

Post a Comment

Previous Post Next Post