Mkeka Namungo FC Vs Dodoma FC na KMC Vs Jk Tanzania

 


Ligi kuu ya NBC inatarajia kuendelea kwa michezo miwili kupigwa November 21.  Katika viwanja viwili tofauti Namungo akishuka uwanjani kuwakaribisha Dodoma huku Kmc wakiwakaribisha Jk Tanzania

Msimamo Ulivyo

1. Namungo FC Vs  Dodoma FC

Namungo anashika nafasi 10 na alama zake 6 huku Dodoma Fc akishika nafasi ya 14 na alama 5

Mchezo huu unatarajiwa kuwa mchezo mgumu ingawa Namungo anapigiwa upatu kupata ushindi mwemwamba au sare katika mchezo huu.

2. KMC FC  JKT Tanzania

Jkt tanzania anashika nafasi ya 7 na alama zake 7 huku KMC akishika mkia na alama 1.  Nafasi kubwa anapewa JK tanzania kupata alama katika mchezo huu .


UTABIRI WETU

1.Namungo FC 1 : 0 Dodoma FC [Normal 1X]

2. KMC FC 0 : 1 JKT Tanzania  [ Normal 2X]

Kumbuka huu ni utabiri tu kulingana na takwimu za timu husika


Michezo Hii inapatikana 888bet Bofya >HAPA> Kubeti


Soma pia

Jinsi ya kucheza Aviator  Tanzania 

Post a Comment

Previous Post Next Post