Mkeka wa leo Mashujaa Vs Costal Union

 


Ligi kuu ya nbc inatarajiwa kuendelea leo ambapo Mashujaa fc watakuwa wenyeji wa Costal union. Mchezo huu unatarajiwa kuwa na ukali wa aina yake kutokana na nafasi ya timu husika , hata hivyo haitarajiwi magoli Mengi.

Nafasi katika Msimamo

Mashujaa Fc wanashika nafasi ya 3 katika msimamo na alama 12 huku costal Union wakishika nafasi ya 9 na alama 8 angalia msimamo hapa Chini .



Tofauti ya alama kati ya Mshujaa na costal union sio kubwa ni takribani alama 4 hivyo ni timu ambazo hazipishani uwezo sana.

Utabiri Wetu
FT Mashujaa 1 Costal union 0 (Normal 1X, under 2.5)

Unaweza kubeti mchezo huu kwa kubofya >HAPA>


Endelea kusoma  makala zetu.

Soma pia: Jinsi ya kujisajili 1win

Post a Comment

Previous Post Next Post