Utabiri wa mkeka Chelsea Vs Manchester United

Chelsea Watawakaribisha Manchester  united katika mwendelezo wa ligu kuu ya EPL mchezo unaotarajiwa kuwa mkali. Chelsea hawahawa na mwendelezo mzuri wa matokeo  huko manchester  wao wakiharibu zaidi katika michezo mitatu i liyopita. Chelsea anatoka katika kipigo kutoka kwa manchester city huku united akiuguza kipigo alichokipata kutoka kwa leads wikiend iliyopita. 
MSIMAMO WA EPL NAFASI YA CHELSEA NA MANCHESTER UNITED
Kunako msimamo wa ligi kuu ya Epl chelsea anashika nafasi ya 6, kwa alama 48 akiwa amecheza michezo 32 Huku manchester united akishika nafasi ya 3 kwa alama 55 akiwa amecheza michezo 32.

MATOKEO TIMU HIZI ZILIPOKUTANA MICHEZO YA KARIBUNI H2H
Katika michezo ya karibuni zilipokutana timu hizi mbili nikama ifuatavyo
  1. 2025 : Man united 2 Chelsea 1
  2. 2025: Chelsea 1 man united 0
  3. 2024: Man united 1 Chelsea 1
  4. 2024: Chelsea 4 Man united 3
  5. 2023: Man united 2 Chelsea 1
  6. 2023: Man united 4 Chelsea 1
  7. 2022: Chelsea 1 Man united 1
  8. 2022: Man united 1 Chelsea 1
  9. 2021: Chelsea 1 Man united 1
  10. Chelsea 0 man united 0
Tathimini, katika michezo yote 10 ambapo timu hizi mbili zimekutana imekuwa na goli zaidi ya moja katika michezo 8 sawa na asilimia 80% ( Over 1.5) huku michezo miwili tu wakitoa chini ya Goli moja na mchezo uliomalizika kwa sare tasa ni mchezo mmoja.

UWEZO WA TIMU HIVI KARIBUNI
Katika michezo ya hivi karibuni kwa upande wa chelsea kunako ligi kuu ya Epl Amepoteza michezo mitatu mfululizo, Akipoteza 1 kwa 0 dhidi ya Newcastle Nyumbani, akapoteza 3 kwa 0 dhidi ya Everton, ugenini na akapoteza 3 kwa 0 dhidi ya manchester City
Kwa Upande wa Manchester United
Amepoteza 2-1 dhidi ya leeds nyumbani, akatoa sare ya 2-2 dhidi ya Bournemouth na akashinda 3-1 dhidi ya Aston villa.

UTABIRI WETU
Angalia Odds Betway , promo code ya bonasi Jaza TZA84
FT 2X / Over 1.5 / X  correct score Try 2-2 

Tukutane hapa hapa kwa uchambuzi wa mikeka.

Post a Comment

Previous Post Next Post